Ijumaa, 6 Januari 2017



MAJIRA NA NYAKATI ZA HATMA HALISI KANISA LA    KWELI

Kanisa la kweli ni kusanyiko la watendao kwa haki. Yale aliyoyakusudia MUNGU tukiwa kwenye kiganja chake kuonekana kutimia kwa uhalisi sasa.

Awali akijenga msingi wa Ibada hiyo Wakili wa MUNGU aluimuhamisha kituo cha majina kiongozi wa makuhani ambapo sasa anaitwa "NJIA ZA BWANA" badala ya Njia za Bwana Ad2 MUNGU wa Majeshi" pamoja kuhani wa Kituo cha Ad2 "Kuhani YEHOSHANI".

Kinachowakamatia wengi ni kujiuliza maswali maswali kuwa Yesu ni nani? Eliya kizazi cha nne ni Nani na Miaka 1000 ni nani?

Ni MUNGU kabla ya majira ya 3 alikuwa hatumi bali alifanya mwenyewe.

MUNGU ana Nafsi 3 kwahiyo ukisema Nafsi ya MUNGU una maana ifuatayo 1 Yoh 5:8.

i)BABA ambaye ana moyo.
                               Roho
                               Nafsi

ii)NENO ambaye ana moyo.
                                Roho.
                               Nafsi.

iii)Roho ambaye ana moyo.
                                 Roho.
                                 Nafsi.                                

Huyu Baba ni MUNGU
        NENO- Kristo Mafuta.
        Roho - Kanisa

Hivyo kwa maana nyinge ukisema nafsi ya MUNGU un maana ya MUNGU kristo na Kanisa. Kwahiyo Kristo ni MUNGU na Kanisa ni MUNGU ndio sababu sio dini wala dhehebu.

Tunaenda mpaka mahali ambapomchawi, mzimu, ubya, uchafu haukubaliki ndani ya Kanisa kwasababu Kanisa ni MUNGU. 

MUNGU ni mmoja
Nafsi ya 1 BABA
Nafsi ya 2 Neno - Kristo.
Nafsi ya 3 Roho - Kanisa.

Baada ya anguko hapa kwenye mlima wa MUNGU ndipo alipokuja na majira mpya mwanzo 1:3 siku zake 7.

 Akatengeneza Bustani ya Edeni. Anaposema tuumbe mtu kwa mfano wetu alikuwa na nani? Mwa 1:26 maana Nafsi yake ya 3 ambayo ni Roho tunamuona akiwa ni Mwa 1:2 kumthibiti kerubi aliyekuwa amekwisha geuka na kuwa shetani.

Mwanzoni tumemuona kuwa Baba ana nafsi ya:-
Baba - Moyo, Roho, Nafsi.
Neno - moyo, Roho, Nafsi.
Roho - moyo, roho, nafsi.

Katika Mwa1:26 alikuwa ni Roho wa Roho anaposema na tumuumbe. Baba wakati anamfukuza Ad1 pale bustani ya Edeni  katk Mwa 3:22-24.

Nguvu ya Moyo wa Roho. Roho na Nafsi ni moja. Wanaogopa Kanisa kwakuwa ni MUNGU hiyo ndio hatma halisi ya Neno.

Waliotumwa wote walikuwa ni wana. Kristo kizazi cha nne alikuwa na Roho ya Baba.

Mwa 18:3-10 Bwana akionekana kama watu watatu, ndio sababu nakuambia MUNGU anakula chips na mishikaki. Je pale kwa ibrahimu hakula?

Kumbe unaposema umezaliwa na mtu ni kosa, unaposema umefunuliwa Kanisa ni kosa kumbe MUNGU mwenyewe ndiye anayefunua Kanisa.

Baada ya kuiba nafsi hai ya Ad1 kerubi alienda kutengeneza majini. Mapepo, uchawi nk. Ndio maana Yesu ktk Mt 16:16 Nitalijenga Kanisa alikuwa na maana ya Roho.

Mt 3:15-17, 1 Petro 3:18 Roho wa kwa Neno.

Mdo 9:1-10, luka 24:50-51 aliyenyakuliwa ni Roho. Hivyo hivyo alivyoenda ndivyo atakavyorudi.

Yoh 17:4 Baba nimefanya kazi yako nirudishe kwenye utukufu wako wa kwanza kuwa NENO.

Yoh 9:7, Mt 21:40 Roho wa MUNGU ndio iliingia ndai ya Eliya akabadilika jina mpaka akakana malango ya mwanamke na mwanaume.

Aliyetufundisha kuhusu:-
*Vizazi vyote vine.
*Aliyevunja misingi mibaya.
*Aliyetuingiza kwenye majira mpya.
*Aliyesababisha tuvae vazi.
*Aliyekuja kujenga jukwaa la MUNGU kuja.
Alikuwa ni Roho wa BABA.  

Kristo aliposema "Narudi kukaa kochi 1 na Baba ni Roho wa BABA. Huyo Roho alikuja na:-
#Matengenezo.
#Marejesho.
#Upatanisho.
#kujenga.
Huyo Baba ndiye mwenye hii Roho.

Kwahiyo hata huyo Roho wa Baba aliacha wenye hila na mashetani. Roho wa Baba ndiye alimwabia Miaka 1000 nimekuachia "wenye hila na mashetani usiwaogope waangamize waue wote"

Roho wa Baba hawezi kushindana na MUNGU ndio sababu Sasa tunaomba kwa Damu ya MUNGU.

Kanisa, Kristo na MUNGU ni kitu kimoja. Mimi ni Roho, Nafsi ya tatu ya MUNGU, nina Roho, moyo na Nafsi ya MUNGU.

Wakili wa MUNGU amesema kinachosumbua wengi ni kituo cha umbo la 1.

Aidha amewaonya makuhani kwa vituoni kumfafanua Wakili kama Aliyetumwa wakati yeye ni Aliyetuma kwasababu amembeba Aliyetuma ambaye anaishi kwake.

Kinachosumbua kingine kwenye maono ukimwona Wakili unasema leo nilimuona Miaka1000 kumbe ni MUNGU na Kristo. Amesema makuhani wengi wanapokwamia ni pale wanaposimama madhabahuni peke yao bila Wakili wa MUNGU wanajikuta wanafundisha vitu ambavyo ni vya level ya aliyetumwa ambavyo havimuamishi yeyote kituo.

"MUNGU hatambui kama niliwahi kuwepo majira ya 1-6, sauti ya 1-6 maana anajua hizo majira zote hazikuwahi kukupa haki ya kuishi, MUNGU anatambua kwamba majira hii ya 7 wenye haki ndio unaishi maana majira hii ndio inakupa haki ya kuishi.

Toba
Kutubu kwa MUNGU kwa roho tuliyokuwa nayo ya kulinganisha vitu na watu mwana nk.

OVYO
8 siwani,6 MUNGU amekuja kukaa nasi moja kwa moja. Tuwe tunaamkia madhabahuni. Sasa hivi MUNGU atakuwa anaua waovu wote.

Aidha Wakili wa MUNGU alihoji mwenye haki "kwani manataka kuishi au kufa?"

Hatahivyo Wakili wa MUNGU aliliongoza Kanisa kutoa Sadaka maalumu ya majira na nyakati za Hatma Halisi Kanisa la Kweli.

Ambapo pia Kiongozi wa Makuhani aliliongoza Kanisa toba ya kina ambayo ilihitimishwa kwa kutoa sadaka ya amani kati ya MUNGU na Kanisa.  

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni