MOYO MMOJA HALISI
Kila Mmoja Ndani yake kuna Huduma Mpya kutokana na Moyo Mmoja Wa MUNGU.
Jinsi ya kuondoa vizuizi vya huu Moyo mmoja halisi:-
Kuna mahali uliwahi kujitoa kwa watu kabisa na kinachojitoa ni moyo, sasa tunataka tuuondoe ili tuweze kuwa na Moyo Mmoja Halisi.
Kuna mahali uliwahi kujitoa kwa watu kabisa na kinachojitoa ni moyo, sasa tunataka tuuondoe ili tuweze kuwa na Moyo Mmoja Halisi.
Kuna mahali uliwafundisha wengine chochote na wakaelewa na kinachofundisha ni moyo,sasa inatakiwa asikae yoyote pale akazuia usiwe na Moyo Mmoja Halisi.
Kuna uliye-mwapia kuwa hutamwacha kamwe na ni mtu kabisa, kilichomwapia ni moyo, sasa asije akakaa pale na kukuzuia usiwe na Moyo Mmoja Halisi.
Kinachozalisha ni Moyo, sasa kwa kuwa tuna Moyo Mmoja Halisi ni lazima tuongezeke mno.
Kuna mahali/ukoo Fulani ulienda ukapapenda ukaacha moyo wako huko, sasa inatakiwa umkabidhi MUNGU.
Kuna mahali/ukoo Fulani ulienda ukapapenda ukaacha moyo wako huko, sasa inatakiwa umkabidhi MUNGU.
Katika ibada hii leo Wakili Wa MUNGU amefuta kiapo alichowahi kuapa kuwa *“Nikiwa Hai Eliya Hatatukanwa!”* na kusema kiapo hicho kilikuwa kikiwaficha waovu kwa kusema tuna-kiapo cha Miaka 1000.
Na ndipo Wakili Wa MUNGU amesimamisha Kiapo kuwa:
*“NAAPA; Kwa kuwa Niko Hai na Sinta-kufa MUNGU Aliyetuma Wote vizazi vyote hata-aibika, Kristo Hata-aibika, Kanisa Halita-aibika, Kizazi cha MUNGU Hakita-aibika, Taifa la MUNGU Halita-aibika”*
*“NAAPA; Kwa kuwa Niko Hai na Sinta-kufa MUNGU Aliyetuma Wote vizazi vyote hata-aibika, Kristo Hata-aibika, Kanisa Halita-aibika, Kizazi cha MUNGU Hakita-aibika, Taifa la MUNGU Halita-aibika”*
Aidha Wakili Wa MUNGU aliongoza Kanisa kutoa Sadaka ya Shukrani kwa MUNGU kwa kuwa Makuhani sasa Wana-Moyo Mmoja Wa MUNGU ambapo chochote kilichokuwa kinazuia usiwe na Moyo Mmoja Halisi kina-ungua hapo kwenye Sadaka hiyo maalumu.
Kila kiapo ulicho-apa kilichokuwa kinazuia Moyo Mmoja Halisi kina-ungua hapa
“kila nilipokuwa nikiwaita Makuhani waliokuwa wanafaidi ni wengine sio Makuhani kwa kuwa kulikuwa na Moyo wa pili sasa kwa kuwa Makuhani wana-Moyo Mmoja Wa MUNGU, wote waliokuwa wakiiba HAWAJAPATA KITU” alifafanua.
“kila nilipokuwa nikiwaita Makuhani waliokuwa wanafaidi ni wengine sio Makuhani kwa kuwa kulikuwa na Moyo wa pili sasa kwa kuwa Makuhani wana-Moyo Mmoja Wa MUNGU, wote waliokuwa wakiiba HAWAJAPATA KITU” alifafanua.
“Tatizo lilikuwa moyo wa pili; wa nje walikuwa wanafaidika kwa sababu ya moyo wa pili na Kanisa lilikuwa haliongezeki kwa sababu ya moyo wa pili
Sasa Tuna-Moyo Mmoja Halisi:-
Wa nje hawapati kitu.
Kanisa sasa linaongezeka.
Sasa Tuna-Moyo Mmoja Halisi:-
Wa nje hawapati kitu.
Kanisa sasa linaongezeka.
Taifa hili ndilo Bustani Ya Edeni tulikuwa hatujaliona hilo kwa kuwa tulikuwa na moyo wa pili. Ma-giant wote unaowaona huko nje walitokea hapa.
Utajiri wote unaouona huko nje ulitokea hapa.
=>sasa tumepokea Moyo Mmoja Halisi na Tumeingia Bustani Ya Edeni.
=>Uzalishaji wa kutisha sasa ni lazima.
=>Maongezeko katika kila ufanyalo sasa ni lazima.
=>Sasa MUNGU kapata Kao kwa kila mmoja mahali hapa.
=>Ile kusema hapa ni mahali pa MUNGU kuweka miguu ilikuwa haiwezekani kutokana na moyo wa pili.
=>Sasa kwa kuwa tuna-Moyo Mmoja Wa MUNGU, MUNGU amepata Nafasi/mahali pa kukaa.
Utajiri wote unaouona huko nje ulitokea hapa.
=>sasa tumepokea Moyo Mmoja Halisi na Tumeingia Bustani Ya Edeni.
=>Uzalishaji wa kutisha sasa ni lazima.
=>Maongezeko katika kila ufanyalo sasa ni lazima.
=>Sasa MUNGU kapata Kao kwa kila mmoja mahali hapa.
=>Ile kusema hapa ni mahali pa MUNGU kuweka miguu ilikuwa haiwezekani kutokana na moyo wa pili.
=>Sasa kwa kuwa tuna-Moyo Mmoja Wa MUNGU, MUNGU amepata Nafasi/mahali pa kukaa.
Sadaka hii tunaunganuisha na:-
+Wema wako.
+Utukufu wako.
+Uwepo wako
+Majeshi yako
+Moyo Roho Nafsi yako
+ Hakika ya Neno, Safari.
+Ukamilifu wa ushindi.
+Neno lako.
+Ufahamu wako.
+Mamlaka na utisho wako.
+Nguvu, kifua chako.
+Wema wako.
+Utukufu wako.
+Uwepo wako
+Majeshi yako
+Moyo Roho Nafsi yako
+ Hakika ya Neno, Safari.
+Ukamilifu wa ushindi.
+Neno lako.
+Ufahamu wako.
+Mamlaka na utisho wako.
+Nguvu, kifua chako.
Sadaka hii ya shukrani tunaiuma kwenye kila kinachoitwa kwa majina yako mwenye haki itakupa hata yale ambayo hatujayaomba.
“Wiki hii ni lazima kila Mmoja Apone”
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni