Jumatatu, 9 Januari 2017



*MAJIRA NA NYAKATI ZA KUISHI JUU YA UMBO*

Wakili wa MUNGU leo ameanza ibada kwa kutangaza kuanza Rasmi kusimamishwa kwa chujio la Haki namba tatu.
Amesema kusimamisha majira na nyakati za Umoja wa MUNGU, Kristo na Kanisa imetufikisha kuwa juu ya umbo. Kizazi cha 1 hadi 4 wote waliishi kwenye mwili. Kizazi cha nne Eliya Ad2 alituingiza kwenye viungo.
Hatahivyo Wakili wa MUNGU aliongoza wenye haki kutoa sadaka maalumu ya kuondoa vya Mti, udongo na vile ambavyo havina heshima.
Nakusema kuwa kila ambacho sio cha heshima kwako leo ni mwisho kwa sadaka maalumu ya leo.
Sadaka hii inasimamisha vya fedha, dhahabu na mawe ya thamani vyenye heshima na utukufu 2Tim2:20-21 na 1kor 3:10-12. Vyombo vya miti, udongo vimefutwa maana havina heshima.
Kila aina ya mila na desturi tabia ya lugha ukoo kabila vilivyokuwa vinazuia wewe kutoka leo vinaungua kwa sadaka hii, hata kama umbo la mila na desturi lilizuia kichwa wako kuokoka leo yanaungulia hapa.
Mwenye nyumba halisi ametinga ndani ya nyumba yake Mt 21:41, mafarakano kwenye agano lako leo mwisho, yote uliyowahi kuona wameshindikana leo ni mwisho, yote uliyowahi kujiuliza sana ndani yako leo unapokea majibu.
Malaika wa kusachi kuondoa maumbo yote kinyume na MUNGU. Kila aliyekanyaga hapa na kila anayesikia sauti hii imtoe kila mahali alipokuwa amekwamia.
Akifafanua kuwa kila jambo lisilofaa linateketezwa hapa kwa sadaka tunayompa MUNGU.
Sheria iliyokuwa imeng'anga'ania leo tumetoka tupo juu ya umbo, ubishi ndani ya Agano la kichwa na kanisa binti na kijana leo tumeshinda.
Ikiwa ni pamoja na kutawaliwa na mabwana wengine leo mwisho, umbo la ukoo, kabila, mila na desturi leo zimefutwa milele kwa Damu ya MUNGU. Sio saa ya mishale bali ni saa ya shangwe nderemo nk.
Kizazi cha 1-3 kwasababu
🌺Kizazi cha 1 kilikuwa manung'uniko na malalamiko.
🌺Kizazi cha 2 kilikuwa na sheria ya dhambi.
🌺Kizazi cha 3 kilikuwa NENO lililovaa mwili kanisa nalo lilikuwa mwilini.
🌺Kizai cha 4 tulitolewa mwilini na kupelekwa kwen

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni