Jumanne, 10 Januari 2017


*SIKU 7 ZA UTENDAJI WA MCHUNGAJI MMOJA HALISI NDANI YA UUMBAJI WOTE”*
Wakili  Wa MUNGU alianza ibada kwa kusema hatuko kwenye kituo cha wazo la kwanza wala la pili na mwanzo wa uharibifu haupo tena maana tuna MWANZO MALIDADI.
=>Sadaka ya:Kila aliyekuwa ananing’inia kwenye maisha yako ameondolewa. malaika kuondoa wote waliosalia ndani ya kila Mwenye Haki
“Sasa kila utakacho-anza siku, safari, Neno la Madhabahuni, biashara.  hakina uharibifu maana ni Mwanzo Maridadi kwelkwel. Kuwaza na kuwazua hakupo tena maana tuko juu ya wazo”
Toba kwa kuanza wakati  wa uharibifu maana Mwanzo Maridadi umesimama na Wazo limefutwa.
“Vita ya Rohoni imeisha leo,[ wazo na mwanzo wa uharibifu ndiyo yaliyokuwa yakileta vita vya rohoni]. Sasa utatenda na kutokea hapohapo”
”Sadaka hii ihukumu wale wote walionichafua, yeyote aliyenichafua. Kituo cha wazo na Mwanzo wa uharibifu hakipo tena”
Ufahamu wa Neno;
Kwa hapa tulipofika tuna uumbaji mmoja tu. Lakini kabla ya hapo kulikuwapo na uumbaji wa aina nyingi, wa uchawi, ushirikina n.k
“Sasa kwa kuwa tuna-uumbaji mmoja ni lazima tuwe na Mchungaji Mmoja Halisi ambae ni MUNGU Aliyetuma Wote Vizazi Vyote”
“Nguvu ya: uchawi, unajimu, kutengeneza virus n.k   ilitokana na kuiba Nguvu za Waliotumwa. Sasa kwa kuwa MUNGU Aliyetuma Wote Vizazi Vyote amekuja Nguvu hizo zote zimerudi kwake. Uchawi, ushirikina n.k haupo tena”
Efe 1:9-12 wakati ndio huu ambao vyote  vimekusanya kuwa chini ya Kristo na MUNGU ndiye mmiliki. Tulichaguliwa tangu awali kwa kusudu  na ajili ya utukufu wake.
“kulikuwepo na mda ambao ndio huu MUNGU anajumlisha vitu vyote vilivyoko chini na juu  amiliki yeye na wewe unaetenda kwa Haki ukiwa mtawala”
 ‘Hivi unajitambua kuwa Majira hiyo  ndio sasa na wewe ndio mtawala?.kitendo  cha kushika tama,kichwa,kulia kama mtoto wa maskini sio sawa’. “MUNGU alishasema yote ameweka chini yake kwa ajili yako wewe”
2petro 3:10-14  Mbingu=mifumo    Nchi=rasilimali
-kipindi hiki ndio Haki inatawala maana MUNGU amefuta mifumo yote ya zamani. Sisi tunatakiwa tuwe mfano kwenye jamii na serikali.
“kama serikali inakataza kujenga nyumba kwa fedha zisizo halali, Je sisi sio zaidi, Je kwa Makuhani sio zaidi”
Eze 36:26 MUNGU alichoamua sasa hivi, ameondoa moyo, nafsi na roho ya dunia na kuweka yak wake.
“MUNGU anataka Moyo,Nafsi na Roho moja inayojenga ufalme wake. Huu ndio uumbaji Mmoja Halisi, MUNGU ameleta hayo yote ili apate sifa maana anakaa juu ya sifa”
"MUNGU ameondoa wachungaji wengi, kumebaki na Mchungaji Mmoja peke yake ambae ni MUNGU mwenyewe. Naijulikane anayemlisha, mvisha n.k  yeyote hapa ni MUNGU mwenyewe”
Zab 23 Tumefika mahali pa kutopungukiwa na kitu
-kila mmoja awe kwenye faida.
*Maana:* kanisa ni lake,kizazi ni chake na yote ni yake.
*kushindwa kujua utendaji wa Roho mtakatifu  na Roho mtakatifu, Jambo hili lilikuwa likisumbua*
“Kuanzia sasa hivi ili tusikosee unapomzungumzia MUNGU zungumza katika Nafsi zake tatu. Mzungumze MUNGU katika Nafsi zake tatu: BABA, Neno, Roho yaani MUNGU, Kristo  na Kanisa. Kanisa ni Moja tu.”
Mdo 16:19-20. ‘Warumi walikataa habari za petro na petro alitangaza Habari za MUNGU halafu leo wanasema wao ndio kanisa;
“NAMBA MOJA IKO: MUNGU,Kristo na Kanisa”
*Je,Roho Mtakatifu ni nani na utendaji wake ni upi?*
“Roho Mtakatifu huwezi kumwona kwa macho na ndiye aliyekuwa akijenga kanisa kizazi cha 1-“
Mwa 1:2  “katika kizazi cha 1-2 kilichotenda kazi ni Roho wa Roho yaani Nafsi ya tatu ya MUNGU 1YOH 5:8 (Roho ana:Moyo, Nafsi na Roho)
Mt 3:16 – Roho wa Mungu (Roho wa Kristo/Neno  Yoh 1:1-)
Mwa 1:2- Roho ya Mugu (Nafsi ya 3) Yoh 19:30
-1petro 3:18 > Mwili kabla haujauwawa ulisalim Roho
“katika kizazi cha 3 Roho iliyofanya kazi ni Roho wa Kriso/Neno na kazi yake ilikuwa ni kulitambulisha Kanisa”
1Kor 2:6-16 kizazi cha 4 alikuja Roho wa Baba
-Tuna Nia ya Kristo: tukisema kanisa ni tofauti na dini/dhehebu tuna nia ya Kristo
Luk 1:17 kizazi cha 3 alizaliwa Yohana akiwa na Roho ya Eliya
“Zakaria alizaa mtoto ndani yake kulikuwa na Roho ya Eliya .Je, ni vibaya kwa Zebedayo kumzaa mtoto mwenye Roho ya Eliya?.
’katika kizazi cha 3 Roho Mtakatifu alikuja kutambulisha Kanisa. Katika kizazi cha 4 Roho Mtakatifu alikuja kujenga Kanisa. Kizazi cha MUNGU, MUNGU amekuja ambae ana-miliki Roho hizo na anatekeleza yote”
*kinachowasumbua wengi ni mbona hatuneni kwa lugha*
1Kor 14 “Atubuye ni Bora kuliko ane-nae kwa lugha. Sasa amekuja Atubuye”
Mdo 2:  walisema kwa lugha nyingine yaan wewe mchaga unaongea kisukuma na msukuma anaongea kihehe, mswahili anaongea kiingereza.
“MUNGU atakutana nao uso kwa uso  wote wanaotoa mashitaka ya uongo na kumchafua MUNGU,hawawezi kupona. Watafungwa maisha hawawezi kumchafua MUNGU namna hiyo kwamba nafugisha ndoa ya jinsia moja wakati tunakemea jambo hilo .MUNGU amechukia
“MNAMSINGIZIA MUNGU MNAFIKIRI MUNGU ATAWAACHA?” Mseme KWELI mpone!!!
"Karamu ya Sheria ya Roho wa Uzima inayoniweka HURU MBALI na sheria ya dhambi na mauti” 

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni