*MAJIBU NA MASWALI ANAYOULIZWA MCHUNGAJI MMOJA HALISI KILA SIKU*
Wakili wa MUNGU leo amefunua ufunuo wa NENO kwa Kurusu maswali mbalimbali anayoulizwa Mchungaji mmoja halisi kupitia Makuhani, Wenye haki katika jamii inayowazunguka na Madhabahuni.
Aidha aliongoza Wenye haki kutoa Sadaka maalumu ya kufuta wale wote wanaoombea maombi mabaya ili kanisa liishie njiani.
Aliyekuwa anataka uchanganyikiwe, uende kushoto au kulia anaungulia hapo hapo.
Zab 136:32-33, Ebr 8:10 watu wote wamjue MUNGU.
Zab 136:32-33, Ebr 8:10 watu wote wamjue MUNGU.
Kila kilichokuwa kimepangwa kanisa liishie njiani leo kimeishia hapo na kila makusudi yakuharibu umoja wa MUNGU, Kristo na Kanisa leo mwisho.
*Maswali hayo ni pamoja na:-*
(1.) Kwanini Siloamu hatumtaji Roho Mtakatifu mara kwa mara?
(1.) Kwanini Siloamu hatumtaji Roho Mtakatifu mara kwa mara?
2.) Kwa nini siloamu hawataji jina la Yesu mara kwa mara ibadani?
3.) Kwanini Siloamu hatuneni kwa lugha?
4.) Mbona kama mna batizwa zaidi ya mara moja?
5.) Kwanini Siloamu hamfungi na kuomba?
6.) kwanini Siloamu mnabadilisha majina mara kwa mara?
7.) Kwanini Siloamu mnashiriki karamu ya MUNGU na watoto?
8.) Kwanini Siloamu hamuiti kitabu cha NENO bibilia?
9.) Kwanini Siloamu mnaonekana kuwa na majira yenu wenyewe?
10.) Kwanini mnavaa vazi jeupe wote?
11.) kwanini pete mnavaa mkono wa kulia na sio kushoto?
11.) kwanini pete mnavaa mkono wa kulia na sio kushoto?
12.) kwanini Siloamu hamuweki taji ya maua kwenye kaburi?
13.) Kwanini Siloamu hakuna miujiza?
14.) Kwanini Siloamu tunafuta baadhi ya mistari mingine kwenye kitabu cha NENO?
15.) Kwanini Siloamu tunatubu kwaajili ya wengine?
16.) kwanini tunasema anguko halikuanzia Edeni kwa Adamu na Hawa?
17.) Je, watu wote watakuja Siloamu Daniel 2:35?
18.) Maadui wa Mbingu ya 4 -7 wanatofautiana vipi na maadui wa mbingu ya 1-3?
19.) Maandiko yanasema mnyama atashinda kanisa mbona mnyama hajalishinda?
20.) Kuna wanaosema mbona hatubadiliki tabia, tuna tabia zile zile muonekano ule ule?
Maswali hayo aliyajibu kwa moja moja lakini maswali mengine yalijijibu kwa ujumla wakati anafafanua swali mojawapo ingawa alianza kujibu swali la 20 ambalo hata hakuliandika ubaoni.
Alisema kipindi kanisa linapita jangwani katika ile miezi sita bila kufanya fujo wala vulugu zozote hicho kimethibitisha kuwa tumebadilika.
Katika kile kipindi kuna waliokuwa wanatembea na visu, bastora, nondo na silaha nyinginezo hawakuzitumia na wameacha.
Majibu ya maswali mengineyo;- Wakili wa MUNGU alisema tutambue kila anayeongoza kizazi ndani yake kulikuwa na Roho ya MUNGU.
Siloamu tunataja Roho Mtakatifu kuliko wote katika kizazi cha 1 aliyekuwa anatawala pale ni Nafsi ya 3 Kuna:-
Moyo Roho na Nafsi =BABA
Moyo Roho na Nafsi= NENO
Moyo Roho na Nafsi= Roho
Katika Galatia 5:22 tunda la Roho.
Aliyeachiliwa katika Mwa1:2 ndiye aliyekuwepo kizazi cha 1 na cha pili. Kazi ya Roho wa NENO ni kutambulisha Kanisa na ndiye aliyejibu swali aliloulizwa na Eliya yu aja tena? Mdo 2:34
Siloamu tunataja Roho Mtakatifu kuliko wote katika kizazi cha 1 aliyekuwa anatawala pale ni Nafsi ya 3 Kuna:-
Moyo Roho na Nafsi =BABA
Moyo Roho na Nafsi= NENO
Moyo Roho na Nafsi= Roho
Katika Galatia 5:22 tunda la Roho.
Aliyeachiliwa katika Mwa1:2 ndiye aliyekuwepo kizazi cha 1 na cha pili. Kazi ya Roho wa NENO ni kutambulisha Kanisa na ndiye aliyejibu swali aliloulizwa na Eliya yu aja tena? Mdo 2:34
Katika maswali yote haya, ni vizuri kutambua kuna vizazi vya Kanisa na kwenye dini na madhehebu ambapo hata sisi tulikuwa huko hawajawahi kuongelea wala kuzungumza kwa habari ya vizazi vinne, lakini pia wengi hawafahamu kwamba kuna kizazi kabla ya hapo; yaani kizazi cha MUNGU na cha kerubi, kama ambavyo tumefundishwa katika majira 7 kwamba kulikuwepo na majira mbili kabla ya majira ya Musa.
Kwahiyo, unatakiwa uelewe kwamba kulikuwepo na majira ambayo kulikuwepo na kizazi cha MUNGU na malaika pekeyake na kile kizazi ambacho MUNGU alimuumba kerubi, kizazi cha kerubi ambaye alikuwa ndiye kiongozi wa malaika wengine wote akiwa kiongozi wa sifa ingawaje ghafla aligeuka kuwa nyoka.
Kwahiyo, bila maelezo haya kwenye ufahamu wako hata unapowafundisha wengine itakuwa vigumu kuwapeleka kwenye direction sahihi.
Na kitabu cha Neno unapokisoma bila kukielekeza (projection) kwenye majira ya vizazi vya Kanisa sirahisi kupata ufunuo halisi.
Kwa habari ya dini na madhehebu siyo kwamba hawayajui haya, il ahawana nguvu ya kuyafundisha haya kwasababu ili ufundishe ni lazima uwe na MUNGU na bila MUNGU unakauka siku hiyo hiyo.
Kumbuka kwamba haya yote yalikuwa hayaruhusiwi kutamkwa hadharani na dunia ambayo ilishayachukuwa na kuyaweka mfukoni.
Kwahiyo swala la Kanisa la Siloamu kutotamka Roho Mtakatifu au Yesu mara kwa mara si kweli, kwasababu ya kutokuwa na ufahamu kwamba kwa kila aliyekuwa anaongoza kizazi alikuwa na Roho wa MUNGU anayetawala kwa kila kizazi husika.
Na kwamba ukitaka kumtaja MUNGU sawa sawa lazima umtaje kwa nafsi zake zote tatu; yaani Baba, Neno na Roho ambao ni MUNGU, Kristo na Kanisa kama wanavyofuatana.
Yaani Baba ni MUNGU, Neno ni Kristo na Roho ni Kanisa. Kwahiyo Kanisa hili linataja na lina ufahamu wa Roho Mtakatifu kuliko wengine wote.
Hata kwa habari ya Yesu ni hivyo hivyo kwamba Yeye Yesu ndiyealiyeandaa jukwaa la kujakwa Eliya Ad2 iweje tusimtaje? Mt 16:13-18. Ni swala la ufahamu kwamba wengi wanasikia juu juu hawataki kuja kujifunza.
Wakili wa Mungu alisema wakija kujifunza wataona jinsi ambavyo wanatajwa kwa ufahamu si kwaajiliya kuwataja tu (not for the sake of mentioning) bali mahali husika.
Yaani Baba ni MUNGU, Neno ni Kristo na Roho ni Kanisa. Kwahiyo Kanisa hili linataja na lina ufahamu wa Roho Mtakatifu kuliko wengine wote.
Hata kwa habari ya Yesu ni hivyo hivyo kwamba Yeye Yesu ndiyealiyeandaa jukwaa la kujakwa Eliya Ad2 iweje tusimtaje? Mt 16:13-18. Ni swala la ufahamu kwamba wengi wanasikia juu juu hawataki kuja kujifunza.
Wakili wa Mungu alisema wakija kujifunza wataona jinsi ambavyo wanatajwa kwa ufahamu si kwaajiliya kuwataja tu (not for the sake of mentioning) bali mahali husika.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni