NGUVU YA KUTOKOSEA
WAKILI WA MUNGU alianza ibada ya NENO kwa kusema mwendelezo wa Sadaka ya jana (15 Tamuzi, 6) MUNGU amemwambia Kut.12:37-38 Hakuna mahali ambapo Musa aliwabagua, mana walikula wote, nyoka Yule wa shaba nao walimwangalia, kila kitu walifanyiwa sawasawa.
Awali akimkaribisha Wakili wa MUNGU kwaajili ya ibada hiyo kiongozi wa Makuhani aliomba toba kwaajili ya wote wanaokwenda kwa Wakili wa MUNGU kupeleka taarifa mbaya mbaya.
Na ndipo Wakili wa MUNGU alisema hayo;alimuuliza MUNGU kwaba amempisha aongoze kanisa sasa hizi taarifa vipi?
MUNGU akampa jibu, kwamba nilipokuwa napewa maelekezo na Eliya kuna waliokuwa wanasikiliza, hivyo maelekezo niliyopewa nao wanayo; hivyo tukivuka na wao wanavuka.
MUNGU akampa jibu, kwamba nilipokuwa napewa maelekezo na Eliya kuna waliokuwa wanasikiliza, hivyo maelekezo niliyopewa nao wanayo; hivyo tukivuka na wao wanavuka.
“Leo MUNGU amelekeza kwamba nighairi mafuta niliyowapaka na waliyopakwa na Nabii wa mwisho hivyo kuanzia sasa ninaghairi mafuta niliyowapa na waliyopakwa na nabii wa mwisho” alisema.
Aidha pia aliongoza wenye haki kutoa Sadaka maalumu ya kughairi Mafuta ambayo Wakili wa MUNGU aliwapaka waovu na Mafuta ambayo Nabii wa mwisho aliwapaka waovu tangu mwaka 2003 hadi leo.
Hatahivyo Wakili wa MUNGU ameagiza kusimamishwa kwa siku 7 za kumuinua Kiongozi wa Makuhani tufanane! Ikiwa ni zawadi yake ya kukaa rohoni mia kwa mia na kusema Kama ni fedha tutapokea hapohapo, kama ni ghorofa lingine atapata.
Wakili wa MUNGU amesema hakuna yeyote tangu aanze kusimama madhabahuni aliyewahi kuomba kitu ambacho aliwahi kuombwa na kuhani Joshua maombi wa mlima wa ono baada ya kumtuma kwenye huduma katika jiji la Agano la Kweli akaomba amuunganishe na *“Nguvu ya kutokukosea”.*
Efe 3:20 (Kuwaza) – MUNGU anatenda zaidi ya tunachowazayo na tuombayo. Kol.3:17 (Neno, tendo) tufanye kwa NENO la MUNGU, tuache kufikiri mwilini, kituo kilichokuwa kinaleta shida ni kituo cha wazo la kwanza na wazo la pili milele.
Efe 3:20 (Kuwaza) – MUNGU anatenda zaidi ya tunachowazayo na tuombayo. Kol.3:17 (Neno, tendo) tufanye kwa NENO la MUNGU, tuache kufikiri mwilini, kituo kilichokuwa kinaleta shida ni kituo cha wazo la kwanza na wazo la pili milele.
Kol.3:2-3 (kuwaza, kufikiri) Rum.8:4-7 (kuwaza, kufikiri) Kituo kikuu ambacho kimesumbua Kanisa ni kituo cha wazo, mahali ambapo wanajimu walikwenda wakakaa hapo ili kuharibu mawazo ya kila mwenye haki.
Akili ya MUNGU ina tendo moja HALISI.
Akili ya MUNGU ina tendo moja HALISI.
MUNGU anataka nijikane kabisa, nimtegemee yeye tu, nijikabidhi mzima mzima kwake! KUANZIA SASA MUNGU MIMI NI WAKO SINA MAMLAKA YOYOTE JUU YANGU, WEWE NI MMILIKI WANGU.
*MAHALI TULIPO NI JUU SANA TUNAPOROMOSHA MAWE JUU YA WAOVU NA MAADUI WA KANISA!*
Yuko MUNGU anayetenda zaidi ya tuwazayo bila kukosea. Tabia ya MUNGU ni Tendo moja halisi.
Risk takers hawawazi wanaanza tu, na hao ndiyo matajiri duniani.
Aidha Wakili wa MUNGU ameagiza kufanya toba kwaajili ya kuwaza na kuwazua mpaka nikakosea.
*Mabinti:-*
Hakuna ambaye aliwahi kukubali kuchumbiwa mara moja, lazima akatae kwanza. Ili asije akaonekana kwamba ana shida. Hata baada ya kukubali huwa hawaendi mbele za MUNGU kutubu kwa tendo hilo.
*Wanaoajiriwa:-*
Nao hawasemi kilichopo moyoni wakiulizwa tukupe mshahara gani?
*Hata makuhani pia* ni kosa kukataa kwanza.
Yeye MUNGU Ufu.12 alifanya hivyo kuwapiga chenga waovu, amefuta kila kituo.
Hakuna ambaye aliwahi kukubali kuchumbiwa mara moja, lazima akatae kwanza. Ili asije akaonekana kwamba ana shida. Hata baada ya kukubali huwa hawaendi mbele za MUNGU kutubu kwa tendo hilo.
*Wanaoajiriwa:-*
Nao hawasemi kilichopo moyoni wakiulizwa tukupe mshahara gani?
*Hata makuhani pia* ni kosa kukataa kwanza.
Yeye MUNGU Ufu.12 alifanya hivyo kuwapiga chenga waovu, amefuta kila kituo.
Waovu walidhani kuwa hapo ndipo mwanzo, kumbe siyo hapo maana sasa mwanzo ni Mwanzo Malidadi.
Aidha tunatubu mbele za MUNGU kwa sababu kanuni zote katka sekta zote katka maisha yetu yote kuna kanuni ya kukosea, kujiuliza kwanza maswali.
*KITAKACHOSABABISHA UWE NA NGUVU YA KUTOKOSEA*
*KITAKACHOSABABISHA UWE NA NGUVU YA KUTOKOSEA*
*1.) Uwe na hakika ya safari.* Isa.40:28-31 MUNGU hachoki; hachunguziki; hazimii.
Ukitaka usikosee, unatakiwa ujue kwamba ukiwa Siloamu lazima ufike mbinguni. Hata ngwala, vipepsi vitakuja ila wewe hutakata tamaa, hutakwenda kushoto wala kulia; hutainama nafsi; hutalia; hutachoka.
Ila kama unajiuliza maswali, unachoka, unakata tama, utakosea; maana utakwenda kuuliza maswali mahali ambapo hapatakiwi; utachomekewa ushauri wa ajabu sana.
Mimi nina hakika ya safari ya kwenda mbinguni. Mimi nina hakika kwa sababu nilihakikisha kuwa Eliya alikuwa MUNGU mwenyewe. Hiyo hakika ndiyo itakayokupa kutokosea.
Usisikilize chochote kisichokuwa na msingi wa NENO. Hata kama kina msingi wa NENO, angalia je, kimetoka Madhabahuni? Je ni la kituo tulichopo? Hapo hutakosea. Uwe na hakika kwamba MUNGU yupo hapa.
Kila ulichokuwa unakifahamu lazima ukiweke kwanza pembeni.
Mimi nilipoona na vyeti vya elimu ya duniani, nilivigeuza kuwa majivu kwanza ili nimwelewe Eliya; lakini pia kwa kuvichoma ina maana kwamba sina mahali pa kuangukia, yaani godoro la kuangukia – Fall back position!
Ukiwa Kuhani usije ukasema kuwa ngoja niendelee na mahusiano mazuri na askofu wangu ili ikiwa mambo yatakwenda vibaya, basi unakosea.
Hata baada ya ujiunganisha na MUNGU unatakiwa usimfikirie mwingine yeyote atakayekusaidia;
*2.)Makusudi ya MUNGU hayazuiliki.*Ayu.42:2 Najua ya kuwa waweza kufanya mambo yote na makusudi yako hayazuiliki. Ayubu alisema haya baada ya kuwa amemsumbua sana MUNGU.
Kanisa la Siloamu ni nafsi ya tatu ya MUNGU. Ukilijua hili hutakosea; kutopendwa kwa Kanisa hili ni kwa sababu ni nafsi ya 3 ya MUNGU.
Nipo hapa kwa kusudi la MUNGU! Kanisa hii ni kusudi la MUNGU! Ukishakuwa kusudi la MUNGU, hata likija jambo baya, MUNGU ataligeuza kuwa jema! Rum.8:28 Ukijua kwamba kusudi la MUNGU halizuiliwi, hautakosea.
*3.)Hakika ya NENO.*Isa.55:10-11 Kama ishukavyo kutoka mbinguni na hairudi huko bali huchepusha mimea ikazaa, ndivyo NENO la MUNGU lilivyo; kwamba NENO la MUNGU halimrudii bure. Kila mvua inapodondoka lazima palowane.
Tatizo wengi wanasema sijawahi kumuona MUNGU, siujui hata uso wangu. Lakini NENO la MUNGU likija ni lazima liyatende mapenzi yake. MUNGU amesema utakuwa tajiri, ni lazima uwe tajiri; MUNGU amesema kila unapokwenda unaonekana watatu, ndivyo ilivyo; MUNGU amesema hutaaibika lazima itokee.
Ila angalia katka kila NENO ujue una mimba ya sungura, mbuzi, ng’ombe au tembo kila mmoja anamuda wake wa ujawepesi wa kusubiri ili usubiri vitokee.
Mungu amesema utakuwa na gari utapata; MUNGU amesema matajiri kutoka mataifa watakuja hapa, lazima itokee; MUNGU amesema hapa pana thieta kubwa sana, lazima itokee.
Karibu usikilize kwa upendo halisi ili upokee *NGUVU YA KUTOKOSEA*……………………….
Ukitaka usikosee, unatakiwa ujue kwamba ukiwa Siloamu lazima ufike mbinguni. Hata ngwala, vipepsi vitakuja ila wewe hutakata tamaa, hutakwenda kushoto wala kulia; hutainama nafsi; hutalia; hutachoka.
Ila kama unajiuliza maswali, unachoka, unakata tama, utakosea; maana utakwenda kuuliza maswali mahali ambapo hapatakiwi; utachomekewa ushauri wa ajabu sana.
Mimi nina hakika ya safari ya kwenda mbinguni. Mimi nina hakika kwa sababu nilihakikisha kuwa Eliya alikuwa MUNGU mwenyewe. Hiyo hakika ndiyo itakayokupa kutokosea.
Usisikilize chochote kisichokuwa na msingi wa NENO. Hata kama kina msingi wa NENO, angalia je, kimetoka Madhabahuni? Je ni la kituo tulichopo? Hapo hutakosea. Uwe na hakika kwamba MUNGU yupo hapa.
Kila ulichokuwa unakifahamu lazima ukiweke kwanza pembeni.
Mimi nilipoona na vyeti vya elimu ya duniani, nilivigeuza kuwa majivu kwanza ili nimwelewe Eliya; lakini pia kwa kuvichoma ina maana kwamba sina mahali pa kuangukia, yaani godoro la kuangukia – Fall back position!
Ukiwa Kuhani usije ukasema kuwa ngoja niendelee na mahusiano mazuri na askofu wangu ili ikiwa mambo yatakwenda vibaya, basi unakosea.
Hata baada ya ujiunganisha na MUNGU unatakiwa usimfikirie mwingine yeyote atakayekusaidia;
*2.)Makusudi ya MUNGU hayazuiliki.*Ayu.42:2 Najua ya kuwa waweza kufanya mambo yote na makusudi yako hayazuiliki. Ayubu alisema haya baada ya kuwa amemsumbua sana MUNGU.
Kanisa la Siloamu ni nafsi ya tatu ya MUNGU. Ukilijua hili hutakosea; kutopendwa kwa Kanisa hili ni kwa sababu ni nafsi ya 3 ya MUNGU.
Nipo hapa kwa kusudi la MUNGU! Kanisa hii ni kusudi la MUNGU! Ukishakuwa kusudi la MUNGU, hata likija jambo baya, MUNGU ataligeuza kuwa jema! Rum.8:28 Ukijua kwamba kusudi la MUNGU halizuiliwi, hautakosea.
*3.)Hakika ya NENO.*Isa.55:10-11 Kama ishukavyo kutoka mbinguni na hairudi huko bali huchepusha mimea ikazaa, ndivyo NENO la MUNGU lilivyo; kwamba NENO la MUNGU halimrudii bure. Kila mvua inapodondoka lazima palowane.
Tatizo wengi wanasema sijawahi kumuona MUNGU, siujui hata uso wangu. Lakini NENO la MUNGU likija ni lazima liyatende mapenzi yake. MUNGU amesema utakuwa tajiri, ni lazima uwe tajiri; MUNGU amesema kila unapokwenda unaonekana watatu, ndivyo ilivyo; MUNGU amesema hutaaibika lazima itokee.
Ila angalia katka kila NENO ujue una mimba ya sungura, mbuzi, ng’ombe au tembo kila mmoja anamuda wake wa ujawepesi wa kusubiri ili usubiri vitokee.
Mungu amesema utakuwa na gari utapata; MUNGU amesema matajiri kutoka mataifa watakuja hapa, lazima itokee; MUNGU amesema hapa pana thieta kubwa sana, lazima itokee.
Karibu usikilize kwa upendo halisi ili upokee *NGUVU YA KUTOKOSEA*……………………….
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni