THAMANI NA FAIDA YA KUNG’OA KIINI CHA UOVU NDANI YA UUMBAJI WOTE
Wakili wa MUNGU alianza kwa kuunganisha na msingi wa ibada ambapo Mtendaji wa Wakili wa MUNGU leo amefuta viapo alivyowahi kuweka kwa waliotumwa na kuKiweka leo kwa Mungu Aliyetuma wote.
Wakili wa MUNGU alisema kuwa, “ jengo lilisubiri kiapo hiki kwa muda mrefu, sasa tuna hakika ya safari”.
Mtendaji wa Wakili Wa MUNGU alisimamisha Kiapo kuwa: *“Niko Hai na sintakufa;*
*MUNGU hata-aibika*
*Kristo hata-aibika*
*Wakili Wa MUNGU hata-aibika*
*Kanisa halita-aibika*
*Kizazi hakita-aibika*
*Taifa halita-aibika*
*MUNGU hata-aibika*
*Kristo hata-aibika*
*Wakili Wa MUNGU hata-aibika*
*Kanisa halita-aibika*
*Kizazi hakita-aibika*
*Taifa halita-aibika*
Wakili alisema Kiapo hiki kimekata kata mabomba yote machafu.
Aidha Wakili wa MUNGU aliongoza wenye haki kutoa sadaka maalum ya Mith 4:23 kwamba Moyo wako hautachakaa maana unalindwa na kiapo, una ulinzi usiokuwa wa kawaida na una uhakika usiokuwa wa kawaida.
Moyo wako hautaingiwa na mshale wowote, kila kitu kita leta faida.
Sadaka hii ina simamisha agano kuwa hutafadhaika tena kwa lolote.
*“Sasa rasmi ufalme wa MUNGU umehama kutoka mashariki ya kati kuja hapa, hakuna siku kama ya leo. Hutafadhaika tena, umbaji umetaharuki.”* aliongeza Wakili katikati ya shukrani.
Sadaka hii ina simamisha agano kuwa hutafadhaika tena kwa lolote.
*“Sasa rasmi ufalme wa MUNGU umehama kutoka mashariki ya kati kuja hapa, hakuna siku kama ya leo. Hutafadhaika tena, umbaji umetaharuki.”* aliongeza Wakili katikati ya shukrani.
MUNGU aliwahi kufadhaishwa na *kerubi
*Adamu
*mwanamke
*kizazi cha 1-4
*waliotumwa
*kanisa la kizazi 1-4
*Leo ni mwisho.
"Nasimamisha uhalisi wa kanisa kutofadhaishwa na yeyote"
*Adamu
*mwanamke
*kizazi cha 1-4
*waliotumwa
*kanisa la kizazi 1-4
*Leo ni mwisho.
"Nasimamisha uhalisi wa kanisa kutofadhaishwa na yeyote"
Je ni ipi thamani na faida ya kungoa kiini cha uovu ndani ya umbaji wote?
Utakaa juu tu, hutashuka hata siku moja. isaya 66:22. MUNGU Hayuko chini, yuko juu tu. Hata akikaa ndani ya moyo Anakaa ndani ya moyo ulio juu.
Sasa hakuna chochote kitakacho kushusha chini tena. Wote waliomwasi MUNGU watakuwa mizoga na watu wote wataokoka.
“ MUNGU Anakaa katikati ya wanadamu yaani juu ya nchi na wote watamabudu na kwa Yule anaemwamini anakuwa kuhani wake na kristo.
MUNGU Anabadilisha mtazamo uliokuwa nao kuhusu YEYE. Ile MUNGU Ameleta mbingu mpya na nchi mpya.”
Kwa nini Mungu amebadili mtazamo?
Wote waliotumwa walikuwa Mungu, lakini mambo haya kwenda vizuri. Sasa MUNGU Hawezi kuendelea na utaratibu uliopita.
Hekima ya kizazi cha 1-4 Leo umefutwa, utendaji wa kizazi cha 1-4 ni mwisho umefutwa Leo. Isaya66:22 na Ufunuo21:1-3 tazama ya kale yote yamepita sasa yamekuwa mapya.
Wote waliotumwa walikuwa Mungu, lakini mambo haya kwenda vizuri. Sasa MUNGU Hawezi kuendelea na utaratibu uliopita.
Hekima ya kizazi cha 1-4 Leo umefutwa, utendaji wa kizazi cha 1-4 ni mwisho umefutwa Leo. Isaya66:22 na Ufunuo21:1-3 tazama ya kale yote yamepita sasa yamekuwa mapya.
Hekima ya MUNGU sasa ni ktk viwango vya mstari ulionyooka nyuzi 180, hakuna DOA, hakuna kukosea, hakuna kujitetea, hakuna kujihesabia HAKI yaani ukubali kumilikiwa na MUNGU.
“Alisema kila goti ni lazima lipige mbele zake, jambo hilo ni sasa hivi. MUNGU Akiendelea na utendaji wa zamani, dunia haitatikisika na watu hawatakuja na YEYE Anataka waje.”
Hekima ya MUNGU kuwa ndani ya kila mmoja. Yeremia 31:34
MUNGU kuharibu hekima zilizokuwepo, itabaki hekima ya MUNGU peke yake isiyo na doa. Hekima ya MUNGU ni mstari ulionyooka.
MUNGU kuharibu hekima zilizokuwepo, itabaki hekima ya MUNGU peke yake isiyo na doa. Hekima ya MUNGU ni mstari ulionyooka.
Mlima wa uzalishaji umerudi madhabahuni. Mlima wa uzalishaji ulikuwa bado duniani lakini sasa imerejea kanisani.
Makuhani wa madhabahuni walipotumwa nje walikuwa wakitafuta kuongeza watu sio uzalishaji kwa kuwa mlima wa uzalishaji ulikuwa duniani. Sasa hivi makuhani watafuatilia kwa kila mmoja kuona wanacho zalisha na kukiinua.
Maana tuna nguvu ya uzao, kustawi na kuongezeka.
2 falme 2:19 sasa hivi takataka zote zimerudi kwa waliomwasi MUNGU. Nguvu ya uzao na kuongezeka sasa imerejea,
“MUNGU Amefuta kabisa ule mwanzo wa uharibifu, Mwanzo Malidadi upo hapa Gosheni (Tanzania). Mwambie kila mmoja hilo.
“MUNGU Amefuta kabisa ule mwanzo wa uharibifu, Mwanzo Malidadi upo hapa Gosheni (Tanzania). Mwambie kila mmoja hilo.
Sasa shamba la MUNGU limerudi kanisani, waovu walikuwa wamegawana maploti. Leo MUNGU Amekurejeshea ploti kila unachofaya kina tiki.”
“Umeingia mahali pako na mbegu ya kupanda unayo, ukipanda itaota na utavuna. Uta barikiwa na kumiliki mlango wa adui zako. Kichwa wako Amerejea na nguvu za ajabu Ana maploti ya kutisha yenye kila unacho kihitaji.”
Ile bustani ya Eden ilitakiwa kuwa Gosheni sasa imerejea maana waligawana gawana sana, ni lazima waje kuwekeza hapa maana kuna connection ya uzalishaji wa rohoni. Maana mmiliki Amekuja Mwenyewe, Mwenye shamba Amekuja wapangaji wote Amewatoa.
Waliomwasi MUNGU ndio basi tena, na waliokuwa wakiku dharau wata kushang’aa.
“sadaka ya leo ilikuwa inakuanda kuchukua ploti kama utachukua ploti ya kiwanda cha uzalishaji au makampuni, masupermarket n.k na ulinzi moja halisi unao.
Nimekupa homework kesho uniambie ni ploti ipi unachukua kwenye shamba hilo.”
Karamu:- sheria ya roho wa uzima, leo inakupa, mlima wa uzalishaji na ikupe ufahamu ya kuchukua ploti yako kwenye shamba la MUNGU.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni