MAJIRA NA NYAKATI YA MOYO MMOJA HALISI KWA KILA MWENYE HAKI NDANI YA UUMBAJI WOTE
Wakili wa MUNGU alianza kwa shukrani kwa kuwa moyo wa pili hauta onekana kwa yule atendae kwa haki. Moyo wa kufa, kaburi n.k hautakuwepo tena.
“Nimejifunza kuwa, kusudi la MUNGU halizuiliwi hata kama walikuona hufai n.k
watakutafuta tu.
watakutafuta tu.
Hakuna atakae kumbuka jinsi ulivyopakwa mavi n.k au jinsi walivyotukana Siloamu.”
Shukrani kwa MUNGU kwa moyo ninaoondoka nao ni Moyo wa MUNGU.
Aidha Wakili wa MUNGU leo amefundisha kwa kufafanua mistari miwili tu ya NENO ambayo ni Matendo3:19,21 akaifunua kuwa matendo3:19 (mtaji) na 21 (faida).
Kwa moyo moja utakao ondoka nayo leo baada ya toba hata kama ulikuwa tambala la deki hutakuwa hivyo ni lazima watakutafuta.
Maana unaondoka na madhabahu ya moyo mpya na kila kitu kinafunuliwa kwa upya ikiwa ni pamoja na kiungo kimoja kimoja pia kinafunuliwa kwa upya.
Wakili wa MUNGU aliongoza wenye haki kutoa sadaka maalumu ya madhabahu ya kupokea moyo mpya na kila kitu kufunuliwa kwa upya kutokana na majira na nyakati ya moyo mmoja halisi kwa kila mwenye haki ndani ya uumbaji wote.
Toba kwa ajili ya uliofanyiwa bila kujua katika haya fuatayo:-
#kuwaza,
#kunena,
#kutenda,
#kushitaki
#na kuomba kinyume.
Toba kwa ajili ya uliofanyiwa bila kujua katika haya fuatayo:-
#kuwaza,
#kunena,
#kutenda,
#kushitaki
#na kuomba kinyume.
Toba kwaajili ya uliyofanya wewe mwenyewe bila kujua au kwa kujua;-
#kuwaza
#kunena
#kutenda
#kushtaki
#kuomba.
#kuwaza
#kunena
#kutenda
#kushtaki
#kuomba.
Yawezekana ulipokuwa tumboni kuna waliokuwazia vibaya vikaingia mpaka kwenye damu na hata leo bado tunaviona, futa kwa Damu ya MUNGU.
Kuna waliokuwazia mabaya tangu tumboni mwa mama yako eg. Atazaa malaya, jambazi hata leo unaonekana hivyo.
Hata ulipokuja Siloamu siku ya kwanza ukaongozwa sara ya toba kuna waliokuwazia vibaya, kuzungukwa zungukwa kwa ayaliyowazwa.
Hata ulipokuja Siloamu siku ya kwanza ukaongozwa sara ya toba kuna waliokuwazia vibaya, kuzungukwa zungukwa kwa ayaliyowazwa.
Kuna yaliyonenwa yaliyomabaya unayoyajua na usiyoyajua leo tutubu.
Kila kitu kitakuwa kipya baada ya toba hii.
Like Father
Like Son.
Like Father
Like Son.
Kuna uliyotendewa na wengine umejitahidi kusahau lakini bado unakumbuka.
Kuna mambo ulishtakiwa hata pasipo wewe kujua tutubu.
Kuna mengi umeombewa kinyume mengine unajua na mengine hujui tutubu kwa hayo yote.
Kuna mengi umeombewa kinyume mengine unajua na mengine hujui tutubu kwa hayo yote.
Kuna uliyowahi kufanya wewe mwenyewe kwa sababu ya uliyofanyiwa, kuwaza kinyume na MUNGU, Kristo, Kanisa, Wakili wa MUNGU, Taifa.
Kuna uliyowaza tofauti na kinyume na MUNGU ukasema wana kijicho leo tutubu.
Kuna uliyowaza tofauti na kinyume na MUNGU ukasema wana kijicho leo tutubu.
Kuna niliyoyanena kinyume ukifikiri uko sahihi kumbe haupo sahihi.
MUNGU akupe Neema ya kushinda kujihesabia haki kwa kutubu kwa yale yote tuliyotenda kinyume kwa sababu ya yale niliyonena.
Daniel na Nehemia walitubu kwaajili ya ambayo hawakukosa taifa likapona.
Kuna uliyowahi kushitaki, kujishtaki. Kufuta kwa toba niliyoomba kinyume na wengine.
TUbu kwaajili ya kuendelea kuishi ktk majira ya 1-6 leo MUNGU atusamehe.
Kama ukimaanisha leo unatoka na vitu vizuri ambavyo havijakuonekana kwani haya ndio yalikamatia kizazi cha kwanza hadi cha nne.
Isaya 30:20 MUNGU leo ameyang’oa yote mabaya.
Haya yote yalikuwa yanasababisa kukosa kuanzia kizazi cha kwanza hadi cha nne, kung’ang’ania majira ya kwanza hadi ya sita.
“haya ndio yaliokuwa yakisabababisha mnifananishe na waliotumwa. Mimi sio nabii, ,mchungaji n.k, nimembeba MUNGU Aliyetuma wote.
Ukiniona imetosha hata usiponishika mkono”
Kwa sadaka hii kila mmoja akafute kisasi cha ushindi na kishindo cha ushindi.
Moyo wa uzalishaji: Mathayo 12:33
Leo tumepokea moyo wa uzalishaji kila utakacho shika kitapendwa na kile utakacho tamka kita tokea.
Kwa sadaka hii kila mmoja akafute kisasi cha ushindi na kishindo cha ushindi.
Moyo wa uzalishaji: Mathayo 12:33
Leo tumepokea moyo wa uzalishaji kila utakacho shika kitapendwa na kile utakacho tamka kita tokea.
Huo ndio moyo wa uzalishaji, utakwenda mahali kuliko kauka kuta badilika saa hiyo hiyo.
Kila mmoja ata tamani uendeshe gari lake ili kiwanda chake kiende juu. Wewe subiri tu magari yanakuja.
Kwa majira ya leo ukienda sehemu ya jangwa ndani ya mwezi mmoja lazima:-
*watajua kupika maandazi.
*watakula matunda.
*watajua kuuza matunda.
*wakifundishwa wanaelewa.
*watajua kupika maandazi.
*watakula matunda.
*watajua kuuza matunda.
*wakifundishwa wanaelewa.
Moyo wa uzalishaji unakupa kujua au kupokea kila kitu kizuri.
Moyo huo unasababisha wengine kufahamu walivyokuwa hawafahamu kwa mwezi mmoja. Wote wenye viwanda watatamani utumie bidhaa zao.
“Leo umeondoka na moyo wa uzalishaji”
Moyo huo unasababisha wengine kufahamu walivyokuwa hawafahamu kwa mwezi mmoja. Wote wenye viwanda watatamani utumie bidhaa zao.
“Leo umeondoka na moyo wa uzalishaji”
Aidha alihitimisha ibada hiyo kwa kusimamisha moto ulao kwa yeyote aliyekuwa amejipanga kuiba ushindi wa kizazi cha MUNGU wa leo!
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni