NGUVU NA THAMANI YA DAMU YA MUNGU ALIYETUMA WOTE
Wakili wa MUNGU akijenga msingi wa ibada ya leo alianza kwa kuelekeza namna ya kushukuru ili kumleta Wakili wa MUNGU KTK IBADA unayoifanya iliamlete MUNGU NA KRISTO.
*1:Toba binafsi* umekosea hujakosea Toba binafsi ni lazima, ukipita mahali ukakuta ukakuta kuna-kilio, huzuni n.k hayo yote yanakuja kwako wewe mwenye Haki ni lazima uwe na Toba binafsi ili kujisafisha.
*2:Toba ya Kweli;* Ni kutubu kwa ajili yaw engine.
Mdo 3:19 ili upate kuburudishwa
Mdo 3:19 ili upate kuburudishwa
Yer 5:1 unatafutwa wewe utendae kwa haki ili MUNGU asiangamize Eze 22:30 MUNGU kutafuta mmoja atendae kwa haki atakae tengeneza boma/mji
Yer 29:7 ombea Amani mji,taifa, mtaa, Ofisi/kazini ili na wewe mwenye Haki uwe na Amani
Yer 29:7 ombea Amani mji,taifa, mtaa, Ofisi/kazini ili na wewe mwenye Haki uwe na Amani
*3:Toba ya vizazi;* Kut 20:1-5.Mungu hupatiliza wana uovu wa baba zao
Tubu;
Tubu;
Kitabu cha mwanzo ni Zab 98 ambapo MUNGU aliona sifa lakini katika Ufu 12 akatokea mwanamke
Toba hii ni kuanzia kabla ya Mwa 1:1 hadi sasa.
Toba hii ni kuanzia kabla ya Mwa 1:1 hadi sasa.
*4. Toba ya Kristo.*
Toba kwa kutumia vibaya silaha alizotupa
”Amekupa silaha nyingi za kupiga waovu lakini unazitumia vibaya na kupiga wenye Haki.Amekupa vibebea Nguvu kumpiga shetani lakini unapiga wengine”
Toba kwa kutumia vibaya silaha alizotupa
”Amekupa silaha nyingi za kupiga waovu lakini unazitumia vibaya na kupiga wenye Haki.Amekupa vibebea Nguvu kumpiga shetani lakini unapiga wengine”
*5:Toba ya MUNGU.*
Yoel 3:20-21 Ni kwa ajili yake mwenyewe ni lazima kuungana na Toba hiyo ya MUNGU.
Yoel 3:20-21 Ni kwa ajili yake mwenyewe ni lazima kuungana na Toba hiyo ya MUNGU.
Kumwalika WAKILI WA MUNGU amlete MUNGU na Kristo.
“Hapo baada ya Toba hizo 5 mambo yako safi, kila utakae mwombea ni lazima apone, unachotamka ni lazima kitokee”
Aidha Sadaka maalumu ya kufuta maswali ndani ya wenye haki maana
Tuko kwenye Tendo Moja Halisi, tunafuta kituo cha maswali yasiyo na majibu
“swali lolote lililowahi kusumbua Moyo wako linaungua hapa sasa hivi na kubaki na majibu peke yake ufahamu wa somo.
Tuko kwenye Tendo Moja Halisi, tunafuta kituo cha maswali yasiyo na majibu
“swali lolote lililowahi kusumbua Moyo wako linaungua hapa sasa hivi na kubaki na majibu peke yake ufahamu wa somo.
Thamani na Faida ya Damu ya MUNGU wengi hatuijui ndio maana tuna-ziacha zina-zagaa-zagaa
*Nguvu ya kutengeneza Damu ya MUNGU:- UFU 11:6
kugeuza maji kuwa Damu, ila hakusema Damu ya aina gani maana kanisa ni lazima lihame vituo
Lawi 17:11 Uhai wa MUNGU uko kwenye Damu.
MUNGU kuhukumu
1Kor 6:2-3 kupewa kuhukumu mataifa mathayo 26:28
Isaya 4:4 Damu ya utakaso na kuteketeza dhambi, uovu na uasi.
Tambua”Tuko na MUNGU na Kristo una-uwezo wa kubadilisha maji kuwa Damu ya aina yoyote utakayo ukikutana na shida yoyote hakuna haja ya kumwita kuhani, chukuwa maji geuza kuwa Damu ya aina ya shida uliyo nayo.ili MUNGU akae nasi ni lazima tujue namna ya kutumia Damu yake.”
Lawi 17:11 Uhai wa MUNGU uko kwenye Damu.
MUNGU kuhukumu
1Kor 6:2-3 kupewa kuhukumu mataifa mathayo 26:28
Isaya 4:4 Damu ya utakaso na kuteketeza dhambi, uovu na uasi.
Tambua”Tuko na MUNGU na Kristo una-uwezo wa kubadilisha maji kuwa Damu ya aina yoyote utakayo ukikutana na shida yoyote hakuna haja ya kumwita kuhani, chukuwa maji geuza kuwa Damu ya aina ya shida uliyo nayo.ili MUNGU akae nasi ni lazima tujue namna ya kutumia Damu yake.”
*ONYO* usije ukamponya yoyote ukaona ni wewe ndio umemponya, ujue ni MUNGU uliyenae ndie aliyemponya.
Mahali pa sifa na utukufu ni kwa MUNGU sio wewe ni lazima kujua hilo”
-Ebr 9:17
Mahali pa sifa na utukufu ni kwa MUNGU sio wewe ni lazima kujua hilo”
-Ebr 9:17
*Damu ya Yesu/kondoo.= kizazi cha 1>3
*Damu ya Haki Kweli na Hukumu= kizazi cha 4
*Damu ya MUNGU=kizazi cha MUNGU.
*Damu ya Haki Kweli na Hukumu= kizazi cha 4
*Damu ya MUNGU=kizazi cha MUNGU.
Wakili wa MUNGU alisema chochote unachofanya ukisimamishe kwa Damu. (kwa kukomboa maji na kuyageuza Damu ya MUNGU)
chochote unachotamka/kutoa maelekezo/kuonya, unapotunga-sera n.k simamisha kwa Damu.
Kuna namna ambayo mazoea ya zamani ukoo, kabila, jamaa n.k yalikuwa yanakung’ang’ania. Kila mmoja kuondoa mazoea aliyokuwa nayo, sasa hakuna kuwaza ni kutenda kikatokea. Julie.
je, nimeacha sheria ya dhambi, je, nimeacha uzoefu?
je, nimeacha sheria ya dhambi, je, nimeacha uzoefu?
“Tambua kuwa wewe una-uwezo wa kubadilisha maji kuwa Damu Karina kila jambo unalo kutana nalo.
ukisha tumia Damu ya MUNGU ni lazima MUNGU awe pamoja na wewe”
“Tengeneza DAMU YA MUNGU YA:- Kuelewa, Akili ya MUNGU, Kufundisha wengine, utakaso, uponyaji, kusoma Neno N.K
ukisha tumia Damu ya MUNGU ni lazima MUNGU awe pamoja na wewe”
“Tengeneza DAMU YA MUNGU YA:- Kuelewa, Akili ya MUNGU, Kufundisha wengine, utakaso, uponyaji, kusoma Neno N.K
Usitumie maji tumia Damu ya MUNGU uliyogeuza katika kile unachotaka.
Aisha Karamu ya MUNGU ambayo tunashiriki kila siku ya Tatu na Pasaka ya Rohoni sasa inaitwa *Karamu ya Sheria ya Roho wa Uzima* inayokuweka huru mbali na sheria ya dhambi na mauti.
Aidha aliongoza wenye haki shukrani na toba maalumu za
Kumuinua Kiongozi wa Makuhani ambayo ni agano LA siku 7 leo ni siku ya pili.
Aidha aliongoza wenye haki shukrani na toba maalumu za
Kumuinua Kiongozi wa Makuhani ambayo ni agano LA siku 7 leo ni siku ya pili.
Karibu usikilize ibada ya Leo kwa Usikivu halisi ili ujue namna ya kumkaribisha Wakili wa MUNGU Ktk ibada yako amlete MUNGU na Kristo........
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni