KUSIMAMISHA MAJIRA NA NYAKATI ZA VAZI LA UBABA MMOJA TU NDANI YA UUMBAJI WOTE.
Kabla ya MZEE WA SIKU kufika *Mtendaji wa Wakili,* kiongozi wa Makuhani alifundisha haya;Ndani ya majira na nyakati za moyo wa MUNGU.
Toba ni sawa na kujiangalia kwenye kioo kila siku ili MUNGU aweze kukaa na wewe kuishi na wewe.
Toba ni sawa ilivyo lazima kila siku ukiamka unanawa uso, ni kunawisha moyo kila siku.
MUNGU leo natubu kwa kila kitu kilichoingia ndani yangu kinyume na MUNGU aliyetuma wote vizazi vyote.
Mhubiri 9:10 Hakuna ktu kinachokupata katika maisha yako isipokuwa katika majira na nyakati.
Majira na nyakati ni lango la kuingia kwa mambo mazuri au mabaya.
Ukifunga lango la majira na nyakati za kukupata mambo mabaya hayawezi kukupata milele. Kila kitu kimeratibiwa kwenye lango la majira na nyakati.
Ni lazima ufute majira zote mbaya ili kuratibu majira nzuri za kufanikiwa pasipo utaabishaji wa aina yeyote.
Mhu 10:3- Kulikuwepo na baa la wapumbavu kuwekwa juu na wenye akili kuwekwa chini, wenye haki kushushwa chini.
Kulikuwa na tabia ya muovu kuonekana ni mzuri lakini mwenye haki kuonekana ni mbaya ni muovu.
Upumbavu uliwekwa juu sana leo umefutwa na hiyo vaisivesa imefutwa leo, walikuwa na tabia ya kuiba nafsi ya mwingine.
leo muovu ataonekana muovu na mwenye haki ataonekana ni mwenye haki.
Leo tunafuta kituo cha mwenye haki kupigwa mahali pa muovu,
kila kitu cha muovu kinamrudia yeye mwenyewe na mwenye haki anapata haki.
Kila aliyekuwa hathaminiwi sasa atathaminiwa, nimajira ya mwenye haki kuwa juu ya uumbaji wote.
Majira ya muovu kusikilizwa na MUNGU na mwenye haki kutosikilizwa imefutwa leo kwa damu.
AYUBU 1:6 Kizazi hiki cha MUNGU muovu hatapata tena nafasi ya kuongea na MUNGU milele kwa kuwa mahali pake pamefutwa.
Mwa 4:1 muovu aliwekewa ulinzi na MUNGU tena akisikilizwa kidogo tu anasikilizwa na MUNGU lakini wewe mwenye haki hata uende mahakamani,
Ndio kwanza kesi inakugeukia wewe mwenyewe mpaka kufungwa wakati wewe ni mwenye haki.
Mwenye haki hakuwahi kuwa na kibali cha kuongea na MUNGU wala kusililizwa,
Piga picha wakati damu ya Habili inalia chini ikimlilia MUNGU halafu MUNGU hata hakujali akaendelea na safari ya kwenda kumtafuta kaini na kuanza kuongea nae badala ya kumpa adhabu au kumuua akamuwekea ulinzi
Na tena akapakwa mafuta ya DON’T TOUCH hivyo mpaka leo wewe mwenye haki unaamini una mafuta ya don’t touch kumbe yalikuwa bado majira yake
Na ndio sababu hata ulie vipi utashangaa wanakuangalia tu na kukumkebehi, kukukejeli, na mambo mabaya yote.
Majira hii muovu lazima aguswe na ni lazima auawe kabisa, hivi wewe unafikiri Habili alijisikiaje?
Alioona adui yake amewekewa mpaka ulinzi.
Kuna waliokufanya wewe kigoda chao leo nawafuta milele, kuna waliosoma kwa akili za wengine sasa utaona wanaokota makopo,
kuna waliokuwa matajiri kwa ajili ya wengine utawaona wakifilisika kwa ghafla,
Kuna waliokuwa wameolewa badala yako sasa mwenye wake kaja,
kuna waliokuwa bonge ukiona wamepungua kwa ghafla ujue kuwa mwenye afya kaja kuchukua afya yake,
Kuna vbibi miaka 90 lakini bado vibinti hata jino moja halijatoka ukiona vinaporomoka ujue urembo wamechukua vyao,
Kuna tuliokuwa tunawaona ni warembo ukiona sura zimeanza kuchoka ujue wenye uzuri wao wamekuja kuchukua.
Sasa muovu atahukumiwa atatewa atadharauliwa atajulikana kila aendapo hatatetewa na yeyote hatasikilizwa na MUNGU, ataonekana ni muovu kila mahali, atashitakiwa atafungwa.
*BABA*
Kabla ya kusimamisha majira Wakili wa MUNGU alitupatia SUPU, alianza kwa kusema kuwa Naona moto umewaka mapema!
*BABA*
Kabla ya kusimamisha majira Wakili wa MUNGU alitupatia SUPU, alianza kwa kusema kuwa Naona moto umewaka mapema!
Nataka tuanze kushukuru MUNGU leo kwa ajili ya Paul Makonda mkuu wa mkoa wa Dar-es-salaamu pamoja na Rais na Makamu wa Rais, Waziri Mkuu na Waziri wa Mambo ya Ndani Polisi na Viongozi wote pia na Taifa zima 1TIMOTHEO 2:1-4.
Kilichonifurahisha zaidi ni kitendo cha kumtanguliza MUNGU.
Kwa hiyo tumshukuru MUNGU kwa kuwa Taifa hili linatakaswa na MUNGU amelifunua kuwa heri.
Mpelekeeni salamu Makonda kwamba MUNGU amesema hatapoteza maisha milele.
MUNGU anamzingira na kumficha ndani ya kilindi cha MUNGU mwenyewe, na mji huu utakuwa ni mji mzuri zaidi ya miji mingine yote.
Tumshukuru MUNGU kwa ajili ya aliyempa mamlaka hii ya kuongoza mkoa.
Kushukuru kwa ajili ya mikoa yote ndani ya Gosheni TZ kufanya hivyo hivyo kama MAKONDA.
Mdo 4:24-31. Wakili wa MUNGU alishangaa kuona mkuu wa mkoa anaapa kuwa yupo tayari kufa nikasema palepale kuwa hutaufa hivyo ukiona anasema vile ujue kuna wale wazee waliowafuata petro na..
kwa hiyo ujue kuna wanaomzuia na kumtishia hao wote MUNGU leo anawafuta.
Viongozi polisi kuunganishwa na polisi wa mbinguni wasiomiss target hata siku moja, hakuna bidhaa itaingia ya madawa ya kulevya milele.
Merikebu zote hazitaingiza, ndege zote au yeyote atakayefanya hivyo akiwa katika kuwaza tu!
MUNGU atampoteza hukohuko kabla ya kufika kwenye Taifa hili.
Kuwafuta wanaouza madawa ya kulevya wanaotumia na wanaovuta ndani ya Taifa.
Nafsi ya Gosheni imekataa na nafsi ya Tanzania imekataa kuingiza madawa ya kulevya ndani ya taifa.
1PETRO 1:17 Nafsi ya UBABA imerejea, vazi la ubaba lipo hapa, amri moja ya BABA imerejea, hukumu ya Baba imerejea, uumbaji wote utatangaza kuwa taifa hili ni urithi wa MUNGU ndani ya Taifa, jambo hilo litathibitika kuwa taifa hili ni urithi wa MUNGU.
1PETRO 2:5-8 Kusimika jambo hili ili liwe zuri kabisa.
*MUNGU, KRISTO, Wakili wa MUNGU, Kanisa wenye Haki, Taifa na kizazi cha MUNGU ni jiwe, Ibada ya leo ni jiwe.*
Jiwe hili halitoki hapa, alishitakiwi, halihukumiwi halishutumiwi halilaumiwi.
Jiwe hilo, ibada hii, mimi mwenye haki, KRISTO WAKILI kanisa Taifa kizazi tunawapeleka juu ya umbo.
Jengo hili soundproof, spika nk vilivyomo ndani ya jengo ofisi zote tunavipeleka juu ya umbo.
Tunafuta umaskini unyoronyoro, mtazamo wa mwili, fikra za mwilini a kimaskini ibada za kimaskini.
Na hawa wanaotengeneza spika zisizoongea leo spika tunazipeleka juu ya umbo na sasa zitaanza kuongea.
System yote ya mahakama ya Tanzania tunaipeleka juu ya umbo, majaji wote tunawapeleka juu ya umbo hawatapokea mashitaka yoyote kuhusu wenye haki, Kristo, Wakili, kanisa, taifa kizazi cha MUNGU.
Hakuna atakayechukua mahali pako milele, hutaonewa milele.
Isaya 65:16 MUNGU mmoja amesimama, MUNGU ni halisi hana complication, unapofunga agano au engagement sisi hatuna shida na magauni mapya.
MUNGU anachotaka ni wale wageni wamjue MUNGU kwa hiyo sio mpaka uende south Africa kufanya shopping.
MUNGU ni halisi hivyo ulivyo ili mradi ufue mavazi mimi nawaunganisha hapa.
Isaya 60:1-12 leo tumeunganishwa na nguvu ya kufuatwa na mambo mema nikiwashuhudia wengine watanifuata mimi na kuniambia niwapeleke kwa ALIYETUMA WOTE.
Miungu waganga wanajimu hawatafuatwa milele, hapa ndipo penye chemchem za Baraka na sasa nguvu ya kufuatwa ninayo.
Hivyo tutaapa, tutabarikiwa kwa jina lako ULIYETUMA WOTE.
Leo naunganishwa na toba maalumu kama unataka uitwe mzee wa toba ni leo hiyo inatokea.
Leo ni toba ya kujirarua Mdo 3:19,21 burudiko la moyo, na kila kitu lazima kifunuliwa kwa upya.
*Maumbo 11ambayo yaliyokuwa yamebebwa na wenye haki na wenye haki wakayabeba maana yake unabeba maralia na maralia inakubeba.*
1) Dini na dhehebu YOHANA 4:12.
2.)Wazo kahaba mkuu joka UFUNUO 12:1-3.
3.)Kerubi shetani na ibilisi EZEKIEL 28:15.
4.)Giza ukiwa utupu MWANZO 1:2 kama unaumwa sio giza hilo? Ni giza, kuishiwa kupungukiwa.
5.)Dhambi uasi uovu anguko MWANZO 3:1-6.
6.)Dunia na ulimwengu EFESO 2:5-6 ukisoma kitabu cha zaburi kuna mahali muandishi alikuwa anazidiwa na kusema MUNGU wa dunia hii wala hakumaanisha kuwa ni kerubi ila ni kuzidiwa badala ya kusema MUNGU aliyeumba mbingu na nchi.
7.) Ni sawa na wale ambao bado tunamuita Kristo kz4 kuwa ni Eliya ni Mjumbe.
6.)Dunia na ulimwengu EFESO 2:5-6 ukisoma kitabu cha zaburi kuna mahali muandishi alikuwa anazidiwa na kusema MUNGU wa dunia hii wala hakumaanisha kuwa ni kerubi ila ni kuzidiwa badala ya kusema MUNGU aliyeumba mbingu na nchi.
7.) Ni sawa na wale ambao bado tunamuita Kristo kz4 kuwa ni Eliya ni Mjumbe.
8.) Umbo la uhusiano kati ya aliyekuzimu na aliye mbinguni Luk 16:19-26.
9.) Siasa Mdo 1:21-26.
9.) Siasa Mdo 1:21-26.
10.) Akili 3 za dunia falsafa , theolojia, saikolojia Dan 1:3-5
Viongozi wa dunia War 13:
Viongozi wa dunia War 13:
11.) Wanajimu wachawi waganga wanga walozi wasoma dua mbaya MDO 13:6.
11.) Power chafu > hii ipo siloamu ni umbo leo ni mwisho.
Haki ya mwenye haki, mahali pa mwenye haki mahali pa uzima wako, pa utajiri wako, kuaminika kwako utajiri wako, kukubalika, kuwa mboni ya jicho kutoguswa Zek 2:8 pamerejea.
Ili wote waliokuwa wanatumia vitu vyako watoke ni kwa toba.
Bila toba hatoki hata ubomoe uharibu uchome haisaidii.
Leo nitakuwa mzee wa toba halafu utaona jinsi MUNGU atakavyofanya.
Leo MUNGU ametupeleka juu ya umbo.
YEREMIA 1:5 Kila utaabishaji shida magonjwa hayajaanza jana bali ni muda tangu wazo.
*Sikiliza ibada ya 16 siwani, 6 utaelewa vizuri.*
Hata unapotamani safu ya mwingine MUNGU anakushangaa sana ulivyo hujitambui.
*MUNGU ni zaidi ya yaliyoandikwa.*
Ukiona muovu anasavaivu au anaishi ujue amechukua nafsi hai ya kuishi ya mwenye haki.
Aidha kuna mahali tunakuwa tumevuka kwa neema ya MUNGU tu!
Na ametuvusha tukiwa na hayo hayo maumbo hivyo anaendelea kututengeneza huku huku hivyo tambua chujio namba moja hadi la tatu la MUNGU KRISTO KANISA bado lipo kazini kwa upya ndio kazi imeanza mwenye haki.
Aidha Sadaka maalum hizi zikiliwa na haya maumbo yote ndivyo yameliwa hivyo na waovu.
Ule mwanzo wa uharibifu haupo tena Yes imekaa supa kabisa hiyo!!
NEHEMIA 1:1-4 aliambiwa kuwa kanisa siku hizi haliheshimiwi tena, wamekuwa wa kushitakiwa kushutumiwa kudhulumiwa tu!
Moyo mmoja unazingirwa na ukuta leo ili uovu usiingie tena, uasi dhambi, nk
Aliambiwa kumekuwa hakuna tofauti kati ya kanisa na dini maana wote wanakata nyusi, wanavaa penzi nyanya, wanajichubua nk
Kumekuwa na hali ya kanisa kutoheshimiwa lakini kuanzia leo kanisa litaheshimiwa.
Kulikuwa na tabia ukifanya jambo Fulani wapo wanaosema kuwa wao ndio waliofanya kumbe ni Siloamu.
Siloamu ilifuta jangwa ndani ya Taifa na likafutika wanasema ni wao.
Tumefuta maandamano, vita kwenye uchaguzi, tumetoa misaada, wanasema ni waoni alkaida leo mwisho,
Hii ilikuwa inatokana kwa sababu ya kukosa BABA, tumeandika kitabu kinachosema Taifa hili ni urithi wa MUNGU wanasema aaa labda marekani jamani!
Pia hata humu ndani ya kanisa kulikuwa na wengine walikuwa na mababa wengine.
Leo baba mmoja amesimama na MUNGU ndiye anayemvika vazi hilo.
Magetkeepers wote leo wamefutwa, ndio sababu tumefuta maumbo yote.
Tuliombea uchaguzi hapa kuna jamaa katokea huko na ndege amevua na soksi anatembea peku eti anateka nyara…..
"MUNGU amenivika vazi la ubaba na hakuna atakaye kataa, hakuna atakaye simama na kukataa".
"Kazi MUNGU amefanya ndani yangu zinadhihirisha hivyo kuwa mimi ni BABA."
*WAKILI WA MUNGU KUANZIA LEO AMEVIKWA VAZI LA UBABA NA MUNGU MWENYEWE.*
Mataifa yote mabara yote rangi zote lugha zote makabila yote yanamuita Wakili wa MUNGU BABA.
Yaani wazungu, waasia, wahindi, wachina, japani, korea, waamerika na uumbaji wote wanamuita BABA.
Watakuja kuabudu hapa hapa.
Nasema kwa ujasiri na hakuna atakayekataa mara 7, Kanisa zima uumbaji wote na watu wote zaidi ya bilioni 7 watasema BABA.
Na ndipo wenye HAKI wote wakaanza kucheza huku wakisema BABA BABA mara bilioni7 kuonesha tumwkubali na kupokea Wakili WA MUNGU ni BABA.
*MAJIRA YA BABA IMESIMAMA Dan 7:27*
Muwe na amani kubwa kabisa kabisa MUNGU ametenda.
*Ibada ya kesho ni FANTASTIC. Vita imeisha leo!!!!!!!!!!*
MCHUNGAJI mmoja amekuwa BABA ndani ya uumbaji wote achana na mababa wengine ili BABA mmoja akuhudumie!!!
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni